Huduma Ya Matibabu

Huduma Ya Matibabu

Pale ambapo mwajiriwa ameumia au kuugua kutookana na kazi atapata matibabu na huduma nyinginezo kama:

  • Huduma ya gari la kubeba wagonjwa
  • Kumuona daktari
  • Huduma ya uuguzi
  • Kupata huduma ya upasuaji
  • Malipo ya dawa
  • Kurudia matibabu itakapobidi
  • Kupatiwa viungo bandia