Habari

news image

WAAJIRI TUMIENI WCF KULINDA WAFANYAKAZI WENU, PROF. NDALICHAKO

Imewekwa: 25th Jan, 2022

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amewaasa waajiri nchini katika sekta ya umma na binafsi kuendelea kuzingatia Sheria ya Fidia kwa Wafanyakazi ili kuwezesha fidia kwa wafanyakazi waliopata changamoto kutokana na kazi kwa wakati....Soma zaidi

news image

MADAKTARI WALIOPATIWA MAFUNZO NA WCF WAONGEZEKA NA KUFIKIA 1,323 NCHI NZIMA

Imewekwa: 7th Dec, 2021

IDADI ya madaktari wenye ujuzi wa kufanya tathmini za ulemavu na magonjwa yatokanayo na kazi imepanda na kufikia 1,323 nchi nzima, Mkurugenzi Mkuu wa, Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF), Dkt. John Mduma amesema....Soma zaidi

news image

WCF YAENDESHA MAFUNZO KWA MAAFISA UTUMISHI/UTAWALA KUTOKA TAMISEMI

Imewekwa: 23rd Nov, 2021

MAAFISA Utumishi/Utawala kote nchini wamehimizwa kujenga mahusiano baina ya ofisi zao na Wafanyakazi katika kulinda haki zao ikiwa ni pamoja na kufahamu masuala yahusuyo fidia baada ya mfanyakazi kuumia au kuugua kutokana na kazi....Soma zaidi

news image

NAIBU WAZIRI KATAMBI AWATAKA WAAJIRI KUWASILISHA MICHANGO WCF KABLA HAWAJASUKUMWA NA SHERIA

Imewekwa: 18th Nov, 2021

NAIBU Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana na Ajira) Patrobas Katambi, amewataka Waajiri nchini kuwasilisha michango kwenye Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi kwa wakati kama ambavyo Sheria inavyowataka kufanya hivyo....Soma zaidi