Habari

news image

WCF yapokea ujumbe wa DOSHS kutoka Kenya

Imewekwa: 6th Aug, 2022

Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF) umepokea ujumbe wa Kurugenzi ya Usalama na Afya Mahali pa Kazi ya Kenya (DOSHS) wenye dhumuni la kujifunza kutokana na mafanikio ya WCF Tanzania na kuboresha mahusiano baina ya taasisi hizo mbili....Soma zaidi

news image

MAONESHO YA NANENANE 2022 YANAAKISI SHUGHULI ZA WCF

Imewekwa: 4th Aug, 2022

MKURUGENZI wa Huduma za Tathmini, Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF), Dkt. Abdulsalaam Omar, amesema Maonesho ya Nanenane mwaka huu 2022 yanayofanyika jijini Mbeya, yana maana kubwa kwa Mfuko....Soma zaidi

news image

UZINDUZI NANENANE WANANCHI WAHAMASISHWA KUSHIRIKI SENSA KWA MIPANGO BORA YA KILIMO, MIFUGO NA UVUVI

Imewekwa: 4th Aug, 2022

Serikali imefungua rasmi Maonesho ya Nanenane Kitaifa, Mbeya ikihimiza wananchi kushiriki katika Sensa ya Maendeleo na Makazi itakayofanyika mwezi Agosti 2022....Soma zaidi

news image

WAZIRI NDALICHAKO AWATAKA WAMILIKI WA VIWANDA KUZINGATIA SHERIA ZA KAZI

Imewekwa: 26th Jul, 2022

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu-Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amefanya ziara mkoani Dar es laam...Soma zaidi