Habari

news image

WCF YAWAKARIBISHA WANACHAMA NA WADAU KUTEMBELEA BANDA LA MAONESHO YA SABASABA 2023

Imewekwa: 12th Jul, 2023

MFUKO wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF) unawakaribisha Wanachama na Wadau kutembelea banda la Mfuko huo lililoko Mtaa wa Mabalozi viwanja vya Maonesho vya Julius Nyerere ambako kunafanyika Maonesho ya 47 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam, maarufu SabaSaba....Soma zaidi

news image

WCF YAADHIMISHA SIKU YA UTUMISHI WA UMMA KWA KUTOA MSAADA WA VIFAA TIBA HOSPITALI YA RUFAA MWANANYAMALA

Imewekwa: 27th Jun, 2023

MFUKO wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF) umekabidhi vifaa tiba kwenye Hospitali ya Rufaa ya Mkoa, Mwananyamala jijini Dar es Salaam, ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma ambayo huadhimishwa Juni 23 kila mwaka kwania ya kutambua mchango wa Watumishi wa Umma katika Maendeleo ya bara la Afrika....Soma zaidi

news image

MAAFISA HABARI, MAWASILIANO NA UHUSIANO WA SERIKALI YA MAPINDUZI ZANZIBAR WATEMEBELA OFISI ZA WCF

Imewekwa: 27th Jun, 2023

MAAFISA Habari na Mawasiliano kutoka Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, wakiongozwa na Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo, Bw. Hassan Khatib Hassan wametembelea Ofisi za Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF) jijini Dar es Salaam kwa lengo la kujifunza shughuli zinazotekelezwa na Mfuko huo....Soma zaidi

news image

ASILIMIA 87% HUDUMA ZA WCF ZINAFANYIKA KWA NJIA YA MTANDAO

Imewekwa: 5th Jun, 2023

ASILIMIA 87 ya shughuli zote za Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF) zinafanyika kwa njia ya Mtandao....Soma zaidi