Habari

IGP. CAMILLUS WAMBURA, AMEWATAKA WATENDAJI WA WCF KUWAJENGEA UELEWA MAKAMANDA WA POLISI
Imewekwa: 31st Jan, 2023Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Camillus Wambura, amewataka watendaji wa WCF kuwajengea uelewa makamanda wa Polisi wa mikoa ili waweze kuelewa majukumu yao ni nini pale wanapohitaji taarifa kwa ajili ya kutoa fidia kwa wafanyakazi wanapoumia wakiwa katika kutekeleza majukumu yao....Soma zaidi

UJUMBE WA KAMATI YA KUDUMU YA SHERIA NDOGO YA BARAZA LA WAWAKILISHI YATEMBELEA WCF
Imewekwa: 13th Oct, 2022Ujumbe wa Kamati ya Kudumu ya Sheria Ndogo ya Baraza la Wawakilishi ukiongozwa na mwenyekiti wake, Mhe. Mihayo Juma Nunga umetembelea ofisi za Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF) jijini Dar es Salaam Oktoba 12, 2022 kwa nia ya kujifunza....Soma zaidi

MADAKTARI NCHINI WATAKIWA KUZINGATIA UADILIFU, UMAKINI, KUJITOLEA NA UZALENDO
Imewekwa: 3rd Oct, 2022MADAKTARI nchini wametakiwa kuzingatia uadilifu, umakini, kujitolea na uzalendo wakati wakitekeleza majukumu yao wanapowahudumia wananchi....Soma zaidi

MKUU WA MKOA WA DODOMA ROSEMARY SENYAMULE AELEZA MANUFAA YA UWEPO WA WCF KWA WAFANYAKAZI
Imewekwa: 27th Sep, 2022MKUU wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule amesema hivi sasa wafanyakazi wanao uhakika wa kinga na kipato kutokana na majanga yanayosababishwa na ajali, magonjwa na vifo kutokana na kazi kufuatia uwepo wa Mfuko wa Fidia kwa wafanyakazi (WCF)....Soma zaidi