Habari
.jpg)
WCF YAWANOA WAAJIRI MKOANI MWANZA JUU YA UTOAJI WA TAARIFA SAHIHI
Imewekwa: 24th Jun, 2022Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF) umetoa semina kwa Waajiri mkoani Mwanza, kwa lengo la kutoa elimu ya kuwajengea uelewa kuhusu umuhimu wa taarifa za polisi katika ulipaji wa fidia....Soma zaidi

WAAJIRI JIUNGENI NA WCF KULINDA BIASHARA ZENU
Imewekwa: 21st Jun, 2022Waajiri nchini wametakiwa kujiunga na Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF) na kuwasilisha michango kwa wakati ili kulinda biashara zao dhidi ya majanga yanayoweza kuwapata wafanyakazi wao wanapokuwa wakitekeleza majukumu yao ya kila siku....Soma zaidi

MAAFISA KAZI NCHINI WAASWA KUWA WAADILIFU KATIKA UTEKELEZAJI WA MAJUKUMU YAO
Imewekwa: 19th Jun, 2022MAAFISA kazi nchini wameaswa kuwa waadilifu katika utekelezaji wa majukumu yao, Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu, Profesa Jamal Katundu...Soma zaidi
.jpeg)
ILI MFANYAKAZI ALIYEPATA AJALI AWEZE KULIPWA FIDIA LAZIMA TAARIFA YA AJALI ITHIBITISHWE NA POLISI; DKT. MDUMA
Imewekwa: 19th Jun, 2022MKURUGENZI Mkuu wa Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF), Dkt. John Mduma amesema kwa mujibu wa sheria ili mfanyakazi aliyepata ajali akiwa barabarani aweze kulipwa fidia lazima taarifa ya ajali hiyo ithibitishwe na Jeshi la Polisi....Soma zaidi