Habari

USAHIHI WA TAARIFA ZA JESHI LA POLISI KUHUSU AJALI NI MUHIMU KWA MALIPO YA WCF; RC KUNENGE
Imewekwa: 27th Sep, 2023MKUU wa Mkoa wa Pwani, Alhaj. Aboubakar Kunenge, amesema, utekelezaji wa majukumu ya Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF)...Soma zaidi

WCF YATOA ELIMU YA FIDIA KWA WAFANYAKAZI MAONESHO YA 6 YA TEKNOLOJIA YA MADINI GEITA
Imewekwa: 27th Sep, 2023MFUKO wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF) umewata wadau na wananchi wanaotembelea Maonesho ya 6 ya Teknolojia ya Madini yanayofanyika viwanja vya Bombambili eneo la EPZ Mjini Geita, kufika kwenye banda la Mfuko huo ili kupata taarifa ya huduma zitolewazo na Mfuko lakini pia elimu ya fidia kwa wafanyakazi....Soma zaidi

WCF YAENDESHA MAFUNZO YA UELEWA WA SHERIA YA FIDIA KWA WAFANYAKAZI KWA MAJAJI WA MAHAKAMA KUU KANDA YA ZIWA
Imewekwa: 17th Sep, 2023MAJAJI wa Mahakama Kuu Kanda ya Ziwa na Wakurugenzi wa Tume ya Usuluhishi na Uamuzi (CMA) wameanza kikao kazi kilichoandaliwa na Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF) ili kuwajengea uelewa wa Sheria ya Fidia kwa Wafanyakazi Kifungu cha 5 [Sura 263 marejeo ya mwaka 2015]....Soma zaidi

PROF. NDALICHAKO AHIMIZA USHIRIKIANO KUWAHUDUMIA WANANCHI
Imewekwa: 9th Sep, 2023Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amewataka watendaji wake kushirikiana kwa pamoja ili wananchi wapate huduma kwa wakati....Soma zaidi